England: Mifupa ya binadamu aliyeishi miaka 5,000-yapatikana mtoni

.Mfupa ya binadamu iliyopatikana itakuwa ndiyo sehemu ya mwili wa binadamu ya kale zaidi

Chanzo cha picha, Simon Hunt

Maelezo ya picha, Mfupa ya binadamu iliyopatikana itakuwa ndiyo sehemu ya mwili wa binadamu ya kale zaidi

Simon Hunt alipata mabaki hayo ya mifupa katika mto, na yalisemekana kuishi mika zaidi ya 5,000. Mara moja aligundua kuwa alikuwa ni binadmu na akuwa muoga.

"Mfupa ulionekana wa kale, lakini wakati mmoja nilihisi kuwa haukuwa wa kale?" Ayuu alimfuata Simon.

"Sijui mifupa hiyo ingeonekana vipi iwapo ingekuwa ndani ya maji kwa miaka miwili, kwa hiyoje kama hili ndilo lillilotokea?"

Simone, mbunifu aliiona mifupa alipokuwa katika safari ndani ya boti. Halafu akaamua kuichukua, na kuichukua kwenye bondena kuigeuza ndani yam to ili kuishika

.

Chanzo cha picha, Simon Hunt

Mfuko mweupe

Halafu akaiweka ndani ya mfuko mweupe na kuipeleka nyumbani kwake kumuonyesha mke wake, ambaye alikuwa akiangaliwa na wapiti njia

Aliwaita polisi, ambao walimuomba awaonyeshe alikopata mfupa wa paja ili wachunguze.

Hatahivyo wakati maafisa wa polisi walipokwenda kwenye mto, haikuwezekana kwao kuvuka maji kufikia eneo mifupa ilipokuwa.

Hatimaye waliza kufiie eneo la tukio na kuichukua mifupa ambayo waliipeleka kwenye maabara. Simon ilibidi asubiri kwa miezi kadhaa kabla ya polisi kumuita alete mfuko kwenye kituo cha polisi ili waondoe mifupa zaidi.

'Kubashiri kulitoka wapi'

"Waliniambia ilikuwa ni mifupa ya kale na imekuwa pale kwa muda mrefu, na wakaniomba nibashiri niwapi ilipotoka," alisema Simon.

.

Chanzo cha picha, Getty Images

Ilitoka kwa mtu fulani aliyeishi katika kipindi cha zama za mwisho za cha Uingereza.Wataalamu walisema aliishi baina ya 3516 na 3365 BC ( Baada ya Kristo).

Wanaakiolojia wana kadiria kwamba mtu mwenye mifupa hiyo alikuwa na urefu wa sentimita 170 (5'75).

Haikuwezekana kufahamu iwapo alikuwa ni wa jinsia ya kiume au ya kike.

Mfupa wa paja ulikuwa mkubwa kuliko ile ya watu wa kale zaidi waliopatikana awali Uingereza na Misri katika piramidi ya Giza.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Mfupa wa paja ulikuwa mkubwa kuliko ile ya watu wa kale zaidi waliopatikana awali Uingereza na Misri katika piramidi ya Giza.

Mfupa wa paja ulikuwa mkubwa kuliko ile ya watu wa kale zaidi waliopatikana awali Uingereza na Misri katika piramidi ya Giza.

"Watu waliniambia Nilishangaa kupata mfupa huu wa mjini London, lakini lazima tukumbuke kwamba London haikuwepo wakati," Simon alisema.

"Nilifikiri ililikuwa jibu au kitu fulani kingine, kwani ulikuwa umetunzwa vizuri.

Kipindi cha zama za Neolithic Britain kiliwezesha kuwasili kwa utamaduni wa kilimo, kwani wahamiaji walileta mbinu za kilimo na vifaa kutoka Ulaya.

.

Chanzo cha picha, Simon Hunt

Lafta

Makumbusho ya London, ambako Solomon ana matumaini yatakuwa mwisho wa mifupa aliyoigundua, yana kitengo cha masalia ya zama za Neolithic yaliyoishi miaka kati ya 3645 na 3600 BC.

Masalia hayo yanasemekana kuwa mojawapo ya masalia ya kale zaidi kuwahi kufukuliwa na kuhifadhiwa.

"Sikufikiria kusema kweli ni wapi pa kwenda, lakini itakuwa na mahali ambapo paka hawako karibu," alisema.

"Ninataka kuilinda mifupa hii kwasababu pia ni binadamu.

" Mfupa huu ulikuw ani sehemu ya mguu wa mtu, mfu aliyeishi hapa zaidi ya miaka 5,000 iliyopita."

.Thames umethibitisha kuwa umekuwa ni mahala salama kwa masalia ya miili ya kale ya binadamu

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Thames umethibitisha kuwa umekuwa ni mahala salama kwa masalia ya miili ya kale ya binadamu na vitu vingine vya kale

Ugunduzi huu wa mto hames umethibitisha kuwa umekuwa ni mahala salama kwa masalia ya miili ya kale ya binadamu, watu wanaotafuta masalia karibu na mto-wamepata vitu vingi ambavyo kwa sasa vipo katika makumbusho ya London.

Katika mji mkuu, London, wanahitaji kupatia vibali mifupa hii na kutoa taarifa kwa mamlaka ya Bandari ya London. Ni kinyume cha sheria kuchukua au kuttengeneza mto na ufukwe wa aina yoyote.

Hatahivyo Simon ametekeza jukumu lake kama raia.