BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, EU na Nato zaionya Urusi baada ya taifa hilo 'kuanzisha' mgogoro mpya dhidi ya Ujerumani
Wakuu wa Nato na Tume ya Ulaya wameonya kwamba Urusi inazidisha uchokozi wake na wameapa kuikabili iwapo itaendelea.
WARIDI WA BBC: 'Baba na mama wasingeachana huenda maisha yangu yangekuwa tofauti' - Lilian Simpson
Kuishi nje ya kipato ni moja kati ya makosa ambayo baadhi ya watu wanafanya kwa kujua au kwa kutojua.
Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi: Chelsea na Arsenal zapigana vikumbo kwa Eli Junior Kroupi
Chelsea imeanza mazungumzo na Georginio Wijnaldum na inamfuatilia Eli Junior Kroupi wa Bournemouth, ambaye pia anawindwa na Arsenal. Everton, kwa upande wake, haitaki kusajili wachezaji wa bure kwa sasa.
Mnyika: 'Mikono Yetu ni Safi', ajibu maswali mazito kuhusu ‘Tone Tone’
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, inaendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam.
Kuanzia miaka 83 hadi 15,000: Wanyama wanaoishi muda mrefu zaidi duniani
Kuanzia panya fuko hadi papa wa Greenland, hawa hapa ni viumbe wenye muda wa kuishi mrefu usio wa kawaida.
Jinsi nilivyomtafuta aliyemlaghai mama yangu kimapenzi
“Yahoo Boys” wa Nigeria ni vijana wanaotumia simu zao na ujanja wao kuwashawishi baadhi ya wahanga wawape maelfu ya dola.
Majengo 8 yenye rangi za kuvutia zaidi duniani
Matumizi ya rangi kuwasilisha hisia za furaha na uzuri yamekuwepo kwa maelfu ya miaka.
Je, dunia inatawaliwa na kiumbe anayeishi kilomita 1.3 chini ya ardhi?
Watafiti walichuja zaidi ya lita 6,000 za maji ya chini ya ardhi kabla ya kumpata mdudu huyo mmoja tu.
Siku ya mwisho ya dirisha la uhamisho: Fahamu wachezaji wote waliosajiliwa
Dirisha la usajili kwa klabu za Ligi Kuu ya Primia na English Football League (EFL) lilifungwa jana Jumanne saa 23:00 BST.
Unachopaswa kujua kuhusu malengelenge ya sehemu za siri
Meliss Edwards alipokuwa na umri wa miaka ishirini, ni siku chache sana alizotoka nje ya nyumba bila miwani ya jua, si kwa sababu kulikuwa na jua kali, bali kwa sababu alihisi aibu.
Kutoka Nyoka hadi Buibui: Wanyama hawa ni Hatari kweli au Hisia zetu tu?
Unahisi vipi wakati buibui anapokimbia ghafla sebuleni? Buibui wengi wana sumu, lakini ni idadi ndogo tu kati yao inayoweza kuhatarisha maisha ya binadamu.
Baada ya Miaka 30: Aliyekuwa kiongozi wa Crips apatikana na hatia ya mauaji ya Tupac Shakur
Akiwa amevaa suti nyeusi, mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 63 alisimama bila kuonyesha hisia zozote mahakamani huko Las Vegas wakati hukumu ikisomwa, kabla ya kusema kuwa atakata rufaa.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Ndejembi kumrithi Nchimbi, ni mwanasiasa wa aina gani?
Iwapo atathibitishwa kwa mujibu wa taratibu za kikatiba, Ndejembi mwenye umri wa miaka 43 atachukua nafasi iliyoachwa na Nchimbi, ambaye alijiuzulu baada ya kuitumikia kwa takriban miezi 10.
Je, Nchimbi na Gachagua wameponzwa na misimamo yao kisiasa?
Ingawa walihudumu katika nchi mbili tofauti na chini ya mifumo tofauti ya kisiasa, hatima za Emmanuel Nchimbi wa Tanzania na Rigathi Gachagua wa Kenya zimeibua mjadala unaofanana kuhusu uhusiano kati ya marais na manaibu wao, hasa pale tofauti za kisiasa zinapoanza kujitokeza.
Vigogo watano wa CCM waliioondoka katika nyadhifa zao chini ya Rais Samia
Tangu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, kuna wanasiasa kadhaa cha Chama cha Mapinduzi (CCM), ambao wameondoka kwa hiari au kwa shinikizo katika nafasi zao.
Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?
Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?
Je, Iran itaishambulia Ulaya?
Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.
Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?
Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?
Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?
Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.
Hatari 5 zinazoitishia dunia 2026
Licha ya Afrika kuchangia kwa kiwango kidogo katika mabadiliko ya tabianchi, bado ni miongoni mwa maeneo ambayo hayajajitayarisha vya kutosha kukabiliana na madhara yake ya moja kwa moja.
Vyakula 5 vya Kiafrika ambavyo sayansi inaviona kuwa bora kwa afya
Kuanzia Moringa hadi Fonio, na ikijumuisha Baobab, Mtama, na Teff, vyakula kadhaa vya Kiafrika vinajulikana kwa utajiri wake wa virutubisho.
Je, ni rahisi kuifanya Iran kuwa maskini kuliko kuilazimisha kusalimu amri?
Siku moja baada ya kutangazwa kwa kampeni mpya ya Marekani ya kuweka shinikizo la kiuchumi dhidi ya Iran, vyombo vikuu vya habari nchini humo vilikubaliana katika jambo moja
"Ukikimbia wanakupiga risasi, ukijificha wanachoma nyumba"
"Ukikimbia kuingia katika chumba, wanachoma chumba hicho moto," anasema Fatima, akielezea shambulio la hivi karibuni katika kijiji chake Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria. "Ukitoka nje na kuanza kukimbia, wanakupiga risasi."
Maandalizi ya mwisho wa dunia: Je, uko tayari?
Je, dunia ikikumbwa na janga kubwa, utaweza kuishi? Wataalamu wa maandalizi ya majanga wanaeleza mambo muhimu unayohitaji ili kujiandaa engapo hali hii itatokea.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 06:59, 3 Septemba 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 3 Septemba 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 2 Septemba 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 2 Septemba 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































