BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Meli za kubeba ndege za kivita za Marekani zaonekana zikielekea Mashariki ya kati
Tunatumia zana zinazopatikana kufuatilia safari za ndege kama Flightradar24 ili kuangalia mienendo ya hivi punde ya ndege za kijeshi za Marekani huku Washington ikiendelea kuimarisha vikosi vyake katika Mashariki ya Kati.
Miaka 10, Marais 8 - Kuna nini Peru karibu kila mwaka rais mpya?
Tangu mwaka 2016, marais wanane wameapishwa kuiongoza nchi hiyo, wengine wakidumu madarakani kwa miezi au hata siku chache tu.
Kardinali Pengo: Mfahamu aliyekuwa Askofu Mkuu Jimbo la Dar es Saalaam
Tayari alikwishaeleza bayana anapendelea azikwe eneo la Pugu, lililopo takribani kilomita 25 nje ya jiji la Dar es Salaam.
Kijiji cha Urusi kilichopoteza wanaume wake vitani
BBC pamoja na shirika la habari la Urusi la Medizona na watafiti wakujitolea, kufikia sasa tumedhibitisha kuwa wanajeshi 40,201 wa Urusi waliuawa mwaka wa 2025.
Mwathirika wa Mrusi aliyerekodi video za faragha za wanawake azungumza na BBC
Jitihada zinaendelea za "kufuatilia ushahidi wa kidijitali na kifedha" wa maudhui hayo ya faragha kwenye majukwaa ya kulipia.
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa: PSG inamsaka Haaland Man City
Paris St-Germain yaonyesha nia ya kumsajili Erling Haaland, vilabu kadhaa vya Ulaya vinamtaka Bernardo Silva na Carlo Ancelotti ana nia ya kuongeza muda wake wa ukocha wa Brazil.
Wanakijiji walivyokimbilia kuchimba dhahabu iliyopatikana karibu na zizi la ng'ombe
Idara ya madini ya Afrika Kusini, imelaani uchimbaji uliofanyika wiki hii katika makaazi ya Springs eneo la Gugulethu, na kusema ni kinyume cha sheria na inaharibu mazingira.
"Unashirikiana na mapolisi kunishtaki kwa uhaini" Lissu amwambia shahidi aliyedai mfuasi wake
Kiongozi wa chama cha upinzani CHADEMA, Tundu Lissu ameshtakiwa kwa makosa ya uhaini. Kesi hiyo imehairishwa mpaka leo Ijumaa.
Rais mpya wa Venezuela katika njia panda kati ya shinikizo kutoka Marekani na kuimarisha ushawishi wake nchini humo
Trump amemtaja Rodríguez kuwa "mtu mzuri" ambaye amefanya naye kazi. Rodríguez, kwa upande wake amesema wamekuwa na mawasiliano na Trump kwa njia ya "heshima" na "uangalifu".
Wezi walivyopora benki fedha za kujenga mji mzima kwa saa 4 tu
Iliwezekanaje hakuna aliyegundua kilichokuwa kinaendelea? Je, kulikuwa na ushirikiano wa mtu wa ndani? Vipi mashine za kuchimba hazikusikika? Na wezi walijuaje eneo halisi lenye hazina hiyo?
Wanawake wa jamii ya Alawite nchini Syria waelezea walivyotekwa na kubakwa
Kundi la kutetea haki za wanawake la Syrian Feminist Lobby (SFL) kinasema kilirekodi ripoti kutoka kwa familia, vyombo vya habari na vyanzo vingine, kuwa zaidi ya wanawake 80 hawajulikani waliko.
Je, NATO imemjibu Trump kufuatia mzozo wa Greenland?
Mpango wa NATO wa Walinzi wa Arctic, uliotangazwa rasmi wiki iliyopita na Katibu Mkuu wa NATO Mark Rutte, uliibuka huku kukiwa na uhusiano mbaya kati ya Marekani na nchi za Ulaya kuhusu Greenland
Sikiza / Tazama
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Mataifa ambayo muda wa kufunga Ramadhan utakuwa mrefu zaidi 2026
Mataifa yaliyo kusini mwa ikweta yatashuhudia mfungo wa muda mfupi.
Tamu na chungu ya maridhiano Tanzania
Serikali inaona maridhiano kama mchakato unaohitaji utulivu na utaratibu. Upinzani unaona kama haki iliyochelewa kutendeka. Katikati ya mitazamo hiyo miwili, Watanzania wanasalia wakijiuliza maridhiano haya ni ya nani, kwa ajili ya nani, na kwa gharama gani?
Kwaresima: Kwa nini kipindi hiki 'takatifu' ni cha kipekee kwa Wakristo duniani?
Kufunga kwa wakatoliki hujikita sana kwa maisha ya kiroho na huruma ya mtu, kwa hivyo wakati wa kufunga si kubadilisha tu lishe,bali tabia na mienendo ya mtu.
Kisiwa ambacho wenyeji hawaruhusiwi kujivinjari katika fukwe zake
Wavuvi waliokuwa wakiishi karibu na eneo hilo ghafla walizuiwa kuchota hata maji mahali ambapo walikuwa wakiegesha boti zao kwa vizazi.
Je, pazia inayofunika eneo takatifu la Kaaba ilitumwa kwa Jeffrey Epstein?
Kutolewa kwa nyaraka zinazoonyesha kwamba vipande kadhaa vya pazia la Kaaba, eneo takatifu zaidi la Uislamu, vilitumwa kwa Jeffrey Epstein, mfadhili mashuhuri na mhalifu wa ngono, kumezusha wimbi la hasira na karaha miongoni mwa Waislamu duniani kote.
Ongezeko la meli za kivita na ndege za kijeshi za Marekani karibu na Iran linavyofuatiliwa
BBC Verify imethibitisha eneo la meli ya Marekani ya USS Abraham Lincoln karibu na Iran kwa kutumia picha za setilaiti.
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani kwa miaka mingi.
Kutana na wanawake wanaolinda chui porini
Wanawake mashujaa wanakabiliana na baridi kali ili kuhesabu na kuhifadhi mnyama wa porini ambaye awali alikuwa unachukuliwa kama tishio katika vijiji vyao.
Kwanini Israel imekaa kimya wakati Trump akitoa vitisho vipya dhidi ya Iran?
Huku uvumi wa kimataifa kuhusu ongezeko la uwepo wa wanajeshi wa Marekani katika Mashariki ya Kati, viongozi wa Israel wameendelea kuonesha ukimya usio wa kawaida.
Mambo 4 yaliyobadilika Venezuela tangu Maduro kuondolewa madarakani
Maduro na Flores wanasubiri katika seli zao katika Kituo cha Magereza cha Metropolitan huko Brooklyn (MDC), Machi 17, tarehe ya kufikishwa kwao mbele ya mahakama ya shirikisho.
Kwanini Marekani imebadili msimamo kuhusu mataifa yanayoongozwa kijeshi Afrika Magharibi?
Marekani inaashiria kwamba kurejesha demokrasia sio kipaumbele tena na iko tayari kufanya kazi na Burkina Faso, Mali na Niger.
Zawadi za mashada ya maua ya pesa taslim zinazungumziwaje?
Wafanyabiashara hujipatia pesa haraka, wakiuza maua ambayo ndio tu yametoka mashambani, hasa ukizingatia kuwa Kenya ni mojawapo ya wazalishaji wakuu wa maua duniani.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 23 Februari 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 20 Februari 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 20 Februari 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 20 Februari 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani


























































