Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Jaribio la kumuua kiongozi wa Burkina Faso latibuliwa, yasema serikali ya kijeshi
Tangu alipochukua madaraka, Kapteni Traoré amekabiliwa na majaribio mawili ya mapinduzi na pia anakabiliwa na ongezeko la vurugu za wanajihadi.
Venezuela 'itaikabidhi' Marekani hadi mapipa milioni 50 ya mafuta - Trump
Kauli yake inakuja siku moja baada ya, aliyekuwa makamu wa rais wa Venezuela, Delcy Rodríguez kuapishwa kama rais wa muda.
Je, Venezuela ina jukumu gani katika ulanguzi wa dawa za kulevya duniani?
Nicolas Maduro alikuwa bado hajatua Marekani baada ya kukamatwa kwake Venezuela wakati Donald Trump alipoonya kwamba Mexico na Colombia zinaweza kuwa shabaha zinazofuata katika kampeni yake dhidi ya dawa za kulevya
Yafahamu mataifa yanayosherehekea Krismasi leo Januari 7
Tofauti ya Krismasi ya Orthodox haiishii kwenye tarehe pekee.
Kwanini Trump anaitaka Greenland, inamaanisha nini kwa wanachama wa Nato?
Madai ya mara kwa mara ya rais wa Marekani kudhibiti Greenland yanaweza kutishia muungano wa kijeshi wa Nato.
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Roma yatilia shaka uwezekano wa kumsajili Zirkzee
Newcastle United italazimika kumenyana na Tottenham ikiwa inamtaka mshambuliaji wa Wolves Jorgen Strand Larsen, mpango wa Roma kumsajili Joshua Zirkzee wavurgwa na hatua ya Manchester United kumtimua Ruben Amorim na Liverpool haina nia ya kumwachia Federico Chiesa kuondoka Januari.
Kwa nini Maduro alifungwa macho na kuzibwa masikio alipokamatwa?
Picha ya kwanza ya Nicolás Maduro baada ya kuzuiliwa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani Jumamosi hii itasalia katika kumbukumbu ya wengi.
Mfahamu kiongozi wa upinzani nchini Venezuela Maria Corina Machado
Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Venezuela Maria Corina Machado ameapa kuwa atarudi nyumbani haraka, huku akimsifu Rais wa Marekani Donald Trump kwa kumpindua adui yake Nicolas Maduro
Ni nchi zipi zinaweza kulengwa na Trump baada ya Venezuela?
Trump ametoa vitisho vingi dhidi ya mataifa mengine katika siku za hivi karibuni.
'Mimi ni mfungwa wa kivita' - Yaliyojiri Maduro alipofikishwa mahakamani
Wakati wa kesi hiyo iliyodumu kwa dakika 40, Maduro na mkewe, Cilia Flores, walikana mashtaka ya ulanguzi wa dawa za kulevya na kumiliki silaha.
Jinsi majasusi na makomando wa Marekani walivyomnasa Maduro
Operesheni hiyo ya aina yake iliyopewa jina la "Operation Absolute Resolve" inaonyesha jinsi vikosi vya Marekani vilivyoingia kwenye makazi ya Rais wa Venezuela na kumteka.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Kutoka Noriega hadi Maduro fahamu viongozi waliowahi kukamatwa au kuangushwa na Marekani
Historia ya kisiasa ya Marekani imejaa visa vingi vya kuvamia nchi za kigeni ili kukamata viongozi. Tukio la sasa la kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, linadhihirisha mtindo huu.
Uchambuzi: Hatua ya Trump Venezuela inazisafishia njia tawala za kiimla duniani
Trump anaonekana kuamini kwamba yeye ndiye anayetunga sheria, na wengine hawawezi kuwa na haki au upendeleo kama wake
Januari imeanza, unaijua asili ya majina ya miezi 12 ya mwaka?
Kalenda tunayotumia leo imepitia mageuzi na marekebisho kadhaa kwa maelfu ya miaka, tangu asili yake katika ustaarabu wa kale wa Kirumi.
Kuishi kwa hofu ya Lakurawa - kundi la wanamgambo lililoshambuliwa na Trump nchini Nigeria
"Hatuwezi kuishi kwa uhuru. Huweze hata kusikiliza muziki" - wakazi waiambia BBC kuhusu utawala wa wanamgambo.
Marais watano wa Afrika walioondoka madarakani kwa hiari
Tangu uhuru, baadhi ya viongozi wameondolewa madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi na mauaji. Katika mazingira haya, visa vya marais wa Afrika kuondoka kwa hiari katika nafasi ya juu ya utawala ni nadra.
Je, siasa za Kenya 2026 zinaanzaje bila Raila Odinga?
Mwaka huu Kenya ilimpoteza mmoja wa watu wake mashuhuri kwa jina la Raila Amolo Odinga, mmoja wa wanasiasa waliodumu nchini humo, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 80.
Habari 10 zilizosomwa sana BBC mwaka 2025
Kwa mwaka 2025, BBC Swahili kupitia mfumo wake wa uchambuzi wa usomaji Telescope ilishuhudia ongezeko kubwa la wasomaji katika habari zilizogusa siasa, uchaguzi, usalama, michezo na ubunifu barani Afrika.
MQ-9A Reaper: Ndege isiyo na rubani hatari zaidi duniani
Kwa mujibu wa taarifa rasmi na picha zilizochapishwa hivi karibuni, sasa kuna ndege saba za aina ya MQ-9A Reaper zinazofanya kazi katika eneo la Caribbean, ishara ya wazi ya kuimarika kwa ufuatiliaji wa anga.
Kwanini Israel imezishambulia nchi hizi 7?
Kupitia ripoti za Armed Conflict Location and Event Data (ACLED), kati ya Januari 1 hadi Desemba 5, 2025, Israel imefanya takribani mashambulizi 10,631, katika nchi zisizopungua saba duniani, ikiwa nchi iliyofanya mashambulizi kwenye nchi nyingi zaidi duniani kwa mwaka huu.
Krisimasi ni nini na ni kwanini Wakristo wanaisherehekea?
Kila mwaka, duniani kote, Wakristo wengi husherehekea kuzaliwa kwa Yesu Kristo Siku ya Krismasi, tarehe 25 Disemba. Ni siku - na msimu - ulioyojaa nyimbo za Krismasi, kupamba miti, kupeana zawadi na karamu . Na, kati ya sherehe zote, unaweza kujiuliza: Ni nini maana halisi ya Krismasi? Au, kwa nini kuna utamaduni wa Krismasi? Je, una uhusiano gani na Yesu?
Watu maarufu duniani waliofariki 2025
Wakati tukielekea mwisho wa mwaka 2025, tudurusu vifo vya watu mashuhuru katika mwaka huu, ambao walikuwa maarufu katika kazi zao, kuanzia dini hadi michezo.
Meli 5 zenye uwezo mkubwa wa kijeshi duniani
Vita vya karibuni kati ya Urusi na Ukraine pamoja na mizozo ya Iran na Israel vinaonyesha kuwa nguvu ya meli inategemea zaidi ufahamu wa kiteknolojia, mfumo wa ulinzi, na uwezo wa kushambulia kwa haraka, kuliko ukubwa wa jadi au idadi ya wanajeshi. Ndiyo maana uwekezaji wa meli za kivita unakuwa jambo la kimkakati duniani.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 8 Januari 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 7 Januari 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 6 Januari 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 5 Januari 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani