Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kuhusu Idhaa ya Kiswahili ya BBC
Idhaa yetu inaajiri waandishi wa habari na watangazaji kutoka nchi zote zinazozungumza Kiswahili na vilevile katika sehemu nyingine za Afrika.
Mhariri: Caroline Karobia.
Waandishi waandamizi:
Ruth Nesoba
Odhiambo Joseph
Peter Mwai
Nairobi, Kenya:
Waandishi wa mtandaoni: Seif Abdalla na Idris Situma
Watangazaji: Ng'endo Angela, Gladys Njoroge, Shaaban Ndege, Jason Nyakundi, Robert Kiptoo, Dinah Gahamanyi, Muliro Telewa, Dayo Yusuf, John Nene na Odeo Sirari.
Waandishi wa Habari: Emmanuel Igunza, Wanyama Chebusiri, Ferdinand Omondi, Anne Soy, Jamhuri Mwavyombo, Abdinoor Aden na Bashkas Jugsoday.
Global News Beat:- Anthony Irungu [Nairobi] na Paula Odek [Nairobi]
Dar es Salaam, Tanzania:
Watangazaji: John Solombi, Regina Mziwanda, Lizzy Masinga, Halima Nyanza na Leonard Mubali
Waandishi wa Habari mjini Dar es Salaam:
Aboubakar Famau, Tulanana Bohela, Kulthum Maabad na Esther Namuhisa
Uganda:
Siraj Kalyango
Burundi:
Ismail Misigaro
Rwanda:
Yves Bucyana
Afrika ya Kusini:
Omar Mutasa