Wasanii Sudan kusini wachora kushinikiza amani Juba
Baada ya vita vya takriban miaka mitatu, wasanii Sudan kusini wameshirikiana katika kujaribu kuishinikiza nchi kukaa pamoja na kujadili amani, kwa kuanzisha michoro katika maeneo ya umma mjini Juba.

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban

Chanzo cha picha, Ana Taban
Baada ya kusambaza ujumbe wake katika baadhi ya kuta za mji wa Juba, kundi hilo sasa linapanga kupanua mradi wake nje ya mji mkuu huo.








