Tetesi kubwa tano za soka Ulaya jioni hii (31.08.2022)

Youri

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Youri

Arsenal bado inamtaka kiungo wa Leicester Youri Tielemans lakini hawajapeleka ofa hata moja kwa ajili ya kumnasa mchezaji huyo (Skysport)

Maitland-Niles

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Maitland-Niles

Kiungo wa Arsenal Ainsley Maitland-Niles yeye anakaribia kutua Southampton kwa mkopo wa mwaka mmoja (Romano).

Ruka X ujumbe, 1
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje

Mwisho wa X ujumbe, 1

Mazungumzo ya kina kuhusu uhamisho wa Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Barcelona kwenda Chelsea yameendelea leo, licha ya kwamba amepata majeraha yatakayomuweka nje kwa wiki kadhaa baada ya kuvamiwa na vibaka nyumbani kwake (@TheAthleticUK

Ruka X ujumbe, 2
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje

Mwisho wa X ujumbe, 2

Kocha wa Manchester United Erik ten Hag: “Aaron wan Bissaka atasalia Old Trafford”. Anasakwa na vilabu vya Crystal Palace na Westham (Presser)

Bissaka

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Bissaka

Wesley Fofana amejiunga rasmi na Chelsea kutoka Leicester kwa ada inayofikia £75m. (Skysport)

Fofana

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Fofana