Tetesi kubwa tano za soka Ulaya jioni hii (31.08.2022)

Chanzo cha picha, Getty Images
Arsenal bado inamtaka kiungo wa Leicester Youri Tielemans lakini hawajapeleka ofa hata moja kwa ajili ya kumnasa mchezaji huyo (Skysport)

Chanzo cha picha, Getty Images
Kiungo wa Arsenal Ainsley Maitland-Niles yeye anakaribia kutua Southampton kwa mkopo wa mwaka mmoja (Romano).
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 1
Mazungumzo ya kina kuhusu uhamisho wa Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Barcelona kwenda Chelsea yameendelea leo, licha ya kwamba amepata majeraha yatakayomuweka nje kwa wiki kadhaa baada ya kuvamiwa na vibaka nyumbani kwake (@TheAthleticUK
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 2
Kocha wa Manchester United Erik ten Hag: “Aaron wan Bissaka atasalia Old Trafford”. Anasakwa na vilabu vya Crystal Palace na Westham (Presser)

Chanzo cha picha, Getty Images
Wesley Fofana amejiunga rasmi na Chelsea kutoka Leicester kwa ada inayofikia £75m. (Skysport)

Chanzo cha picha, Getty Images








