Kenya: Mashindano ya ulimbwende ya Albino Afrika Mashariki 2018

Mr Albino Afrika Mashariki ni Emmanuel Silas kutoka Tanzania ambaye pia ni mshindi wa vipaji.

Wakati Miss Albino ni Maryanne Mungai kutoka Kenya ambaye alishinda kwa kuwa na vazi la kibunifu.

Mr Albino Uganda- Paul WakibonaMs Albino Uganda- Olive Auma

Mr Albino Tanzania-Emmanuel Silas

Miss Albino Tanzania- Chevawe Kasure

Mr Albino Kenya- Oreen Wakhulunya

Ms Albino Kenya- Maryanne Mungai