Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kenya: Mashindano ya ulimbwende ya Albino Afrika Mashariki 2018
Mr Albino Afrika Mashariki ni Emmanuel Silas kutoka Tanzania ambaye pia ni mshindi wa vipaji.
Wakati Miss Albino ni Maryanne Mungai kutoka Kenya ambaye alishinda kwa kuwa na vazi la kibunifu.
Mr Albino Uganda- Paul WakibonaMs Albino Uganda- Olive Auma
Mr Albino Tanzania-Emmanuel Silas
Miss Albino Tanzania- Chevawe Kasure
Mr Albino Kenya- Oreen Wakhulunya
Ms Albino Kenya- Maryanne Mungai