Salamu zisizokuwa za kawaida nchini Cameroon

Pierre Ismael Bidoung Mpkatt akimsalimia Paul Biya

Chanzo cha picha, Twitter / @PaolaAudrey

Maelezo ya picha, Pierre Ismael Bidoung Mpkatt akimsalimia Paul Biya

Tangu waziri wa michezo nchini Cameroon Pierre Ismael Bidoung Mpkatt ainame wakati akimsalimia rais wa nchi hiyo Paul Biya, picha hizo zilisambaa mitandaoni.

Watu nchini Cameroon wamekuwa wakiiga picha hizo na hata kuifanyia mabadiliko.

Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Chanzo cha picha, Twitter / @afrik2_radio

Maelezo ya picha, Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Mfano mwingine ulibuniwa.

Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Chanzo cha picha, Twitter / @CheyssonY

Maelezo ya picha, Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Huyu naye alishuka hata chini Zaidi.

Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Chanzo cha picha, Twitter / @waldrigue

Maelezo ya picha, Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Huyu jamaa naye aliamua kushuka.

Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Chanzo cha picha, Twitter / @zebstatou

Maelezo ya picha, Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Wanyama pia walishiriki.

Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Chanzo cha picha, Twitter / @zebstatou

Maelezo ya picha, Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Je umeiona hii?

Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Chanzo cha picha, Twitter / @Enn_Cee_Kay

Maelezo ya picha, Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Na hata mbuzi huyu alishirikishwa ambaye picha yake iliwekaa mtandao wa Facebook.

Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon

Chanzo cha picha, Facebook / CulturEbene

Maelezo ya picha, Salamu zisizokuwa za kawada Cameroon