Salamu zisizokuwa za kawaida nchini Cameroon

Tangu waziri wa michezo nchini Cameroon Pierre Ismael Bidoung Mpkatt ainame wakati akimsalimia rais wa nchi hiyo Paul Biya, picha hizo zilisambaa mitandaoni.

Watu nchini Cameroon wamekuwa wakiiga picha hizo na hata kuifanyia mabadiliko.

Mfano mwingine ulibuniwa.

Huyu naye alishuka hata chini Zaidi.

Huyu jamaa naye aliamua kushuka.

Wanyama pia walishiriki.

Je umeiona hii?

Na hata mbuzi huyu alishirikishwa ambaye picha yake iliwekaa mtandao wa Facebook.