Charles III: Mfalme mpya ni nani?

Maelezo ya video, Kifo cha Malkia Elizabeth II: Mfalme mpya Charles III ni nani?

Charles, mrithi wa Ufalme aliyehudumu katika enzi katika historia ya Uingereza , sasa ni Mfalme, akidumu kwa miaka 70, imemfanya kuwa mfalme mpya aliyejiandaa zaidi na mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kuchukua kiti cha enzi.