Afrika kwa picha wiki hii: Tarehe 12 hadi 18 Julai 2019

Baadhi ya picha bora zilizopigwa kutoka maeneo mbali mbali ya Afrika wiki hii:

A man brushes off dust from a sarcophagus, part of a new discovery near the Bent Pyramid, about 40km (25 miles) south of Cairo, on 13 July 2019.

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Jumamosi nchini Misri , vumbi likipangushwa kwenye sanamu iliyovumbuliwa yapata kilomita 40 kutoka mji mkuu Cairo.
Presentational white space
11-time WSL Champion Kelly Slater of the United States advances to Round 4 of the 2019 Corona Open J-Bay on 13 July 2019 in Jeffreys Bay, South Africa.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, katika siku hiyo hiyo picha hii ya mpiga mbizi ilichukuliwa katika eneo la bahari lenye mawimbi makubwa kwenye tukio michezo ya baharini la Corona Open J-Bay nchini Afrika Kusini
Team Egypt competes at the World Swimming Championships in Gwangju, South Korea, on 17 July 2019.

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Waogeleaji wanawake wa Misri waliliwakilisha taifa lao katika mashindano ya dunia ya kuogelea nchini Korea Kusini Jumatano
Presentational white space
Tunisia's forward Anice Badri controls the ball during the 2019 Africa Cup of Nations third place play-off against Nigeria in Cairo on 17 July 2019.

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Katika siku hiyo hiyo katika michezo ya kombe la mataifa ya Afrika, mchezaji Anice Badri wa Tunisia akiudhibiti mpira wakati wa mechi yao dhidi ya Nigeria mjini Cairo
Presentational white space
Three schoolgirls walks home in a countryside village of Sierra Leone on 12 July 2019.

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Nchini Sierra Leone, wanafunzi hawa marafiki wa kike wakitembea chini ya mwavuli mmoja walipokuwa wakielekea nyumbani baada ya masomo Ijumaa
Presentational white space
Actors perform the musical comedy "Moulouk el-Tawaef" at the International Festival of Carthage in Tunis on 15 July 2019.

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Msanii wa muziki wa vichekesho qaitwae Moulouk el-Tawaef, akiwa katika shoo katika tamasha la mwaka la kimataifa la Tunisia njini Tunis
Presentational white space
French-Malian singer Aya Nakamura performs on stage at the Francofolies Music Festival in La Rochelle on 12 July 2019.

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Mwanamuziki Mfaransa mwenye asili ya Mali Aya Nakamura akiwatumbuiza mashabiki wake katika tamasha la muziki la wazungumzaji wa Kifaransa kusini- magharibi mwa Ufaransa
Presentational white space
Sudanese protesters are seen in the capital Khartoum's northern district of Bahri on 13 July 2019.

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Jumamosi, waandamanaji waliingia mitaani tena katika mji mkuu wa Sudan Khartoum, ambako baraza la chama tawala na upinzani walisaini mkataba wa kugawana madarakana siku kadhaa baadae
Presentational white space
Swifts fly above rooftops at sunset on 14 July 2019 in London, England. According to the Royal Society for the Protection of Bird, swifts start their return journey to Africa in mid-July, before nights become too cool.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Mwewe hawa walionekana wakipaa juu ya mji wa london mchana walipokuwa njia ni kuelekea katika bara la Afrika kama wafanyavyo kila ifikapo katikati ya mwezi Julai kila mwaka , kulingana na shirika la ulinzi wa ndege la uingereza

Picha kwa hisani ya , Getty Images na AFP