Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Maafisa wa Chadema wakamatwa Tanzania
Polisi nchini Tanzania wamewakamata maafisa wa chama kikuu cha upinzani cha Chadema akiwemo mgombea wa zamani wa uraiswa chama hicho Edward Lowassa.
Haijulikani ni sababu ipi ilisababisha maaafisa hao kukamatwa.
Chadema kinapanga kufanya mikutano ya nchi nzima siku ya Alhamisi kupinga kile inachotaka kuwa kuingiliwa kwa haki ya kujieleka na demokrasia nchini Tanzania tangu raia John Magufuli kuingia madarakani mwaka uliopita.
Serikali ya magufuli imepiga marufuku mikutanoa ya kisiasa nchini Tanzania.