Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tazama Rais Biden alivyoanguka kutoka kwa baiskeli baada ya safari ya Delaware
Rais wa Marekani Joe Biden mwishoni mwa alianguka kutoka kwa baiskeli yake alipokuwa akijaribu kusimama, baada ya safari karibu na nyumbani kwake ufukweni katika jimbo la Delaware nchini Marekani.
Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 79 alisimama na kuanza kuzungumza na wananchi.
Alisema hakujeruhiwa , kulingana na Associated Press. Alisema mguu wake ulikuwa umenaswa kwenye kamba ya kanyagio.