Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mashindano ya ndondi ya WBA
Bondia wa Kenya Nick Otieno na mkanda wa Afrika uzani wa super fly chama cha WBA. Alimshinda Haji Juma wa Tanzania kwa pointi pigano la raundi 12.
Fadhili Majiha wa Tanzania alimshinda Gabriel Ochieng wa Kenya na kutwaa taji la Afrika uzani wa Super Bantam.