Mashindano ya ndondi ya WBA

Nick Otieno
Maelezo ya picha, Nick Otieno

Bondia wa Kenya Nick Otieno na mkanda wa Afrika uzani wa super fly chama cha WBA. Alimshinda Haji Juma wa Tanzania kwa pointi pigano la raundi 12.

Fadhili Majiha
Maelezo ya picha, Fadhili Majiha

Fadhili Majiha wa Tanzania alimshinda Gabriel Ochieng wa Kenya na kutwaa taji la Afrika uzani wa Super Bantam.

Okwiri amuondokea Salehe Mkalekwa baada ya kumuangusha raundi ya tatu
Maelezo ya picha, Okwiri amuondokea Salehe Mkalekwa baada ya kumuangusha raundi ya tatu
Mashindano ya ndoni ya WBA
Maelezo ya picha, Mashindano ya ndoni ya WBA