Picha za kusisimua za wanasiasa na watoto

Chanzo cha picha, Getty Images
Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May alionekana kushangaa alipotembelea shule moja Cumbria wiki hii kama picha hii inavyoonesha.
Lakini si yeye wa kwanza kupigwa picha ambayo ni ya kushangaza akiwa na watoto.
Hapa, ni baadhi ya picha za kushangaza za viongozi wengine.
Msichana huyu hakutaka kumuona aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza David Cameron

Chanzo cha picha, PA
Mvulana aliyekutana naaliyekuwa waziri wa fedha George Osborne

Chanzo cha picha, Getty Images
Ed Miliband akinywa chai

Chanzo cha picha, PA
Boris naye alimwangusha mvulana mchezo wa raga

Chanzo cha picha, PA
Alyekuwa meya wa London Boris alikuwa akicheza raga na watoto wa miaka 10 Japan. Alionekana kutumia nguvu zake zote. Mvulana huyo baadaye alisema "nilihisi maumivu kidogo".
Boris baadaye aliomba radhi.
Ed Balls alihitaji kusaidiwa kuinuka kutoka kwenye mkeka

Chanzo cha picha, Getty Images
Watoto walionekana kushangaa.
Upweke Nick Clegg akila na watoto

Chanzo cha picha, Getty Images
Mwana wa Donald Trump, Barron anafahamika kwa kupiga miayo

Chanzo cha picha, Getty Images
Upweke bao...

Chanzo cha picha, Getty Images
Lakini kuna mwanasiasa mmoja anayefurahiwa na watoto ...

Chanzo cha picha, Getty Images

Chanzo cha picha, Getty Images

Chanzo cha picha, Getty Images












