Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Picha za kusisimua za wanasiasa na watoto
Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May alionekana kushangaa alipotembelea shule moja Cumbria wiki hii kama picha hii inavyoonesha.
Lakini si yeye wa kwanza kupigwa picha ambayo ni ya kushangaza akiwa na watoto.
Hapa, ni baadhi ya picha za kushangaza za viongozi wengine.
Msichana huyu hakutaka kumuona aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza David Cameron
Mvulana aliyekutana naaliyekuwa waziri wa fedha George Osborne
Ed Miliband akinywa chai
Boris naye alimwangusha mvulana mchezo wa raga
Alyekuwa meya wa London Boris alikuwa akicheza raga na watoto wa miaka 10 Japan. Alionekana kutumia nguvu zake zote. Mvulana huyo baadaye alisema "nilihisi maumivu kidogo".
Boris baadaye aliomba radhi.
Ed Balls alihitaji kusaidiwa kuinuka kutoka kwenye mkeka
Watoto walionekana kushangaa.
Upweke Nick Clegg akila na watoto
Mwana wa Donald Trump, Barron anafahamika kwa kupiga miayo
Upweke bao...
Lakini kuna mwanasiasa mmoja anayefurahiwa na watoto ...