Vita vya Ukraine: Tazama jinsi kombora lilivyoshambulia maduka makubwa huko Kremenchuk

Maelezo ya video, Vita vya Ukraine: CCTV yaonyesha kombora likishambulia kituo cha maduka huko Kremenchuk

Picha za CCTV zilizotolewa na Rais Zelensky wa Ukraine zinaonyesha wakati kombora lilipopiga kituo cha ununuzi huko Kremenchuk.

Takriban watu 18 waliuawa katika shambulio hilo la Jumatatu na wengine kadhaa kujeruhiwa.