Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tanzania kufuzu robo fainali kombe la dunia kwa watu wenye ulemavu
Timu ya taifa ya Tanzania imefuzu hatua ya 16 bora kwenye michuano ya kombe la dunia kwa watu wenye ulemavu nchini Uturuki Tanzania ndiye mwakilishi pekee wa ukanda wa Afrika mashariki kwenye michuano hiyo na iwapo watashinda mchezo wao ujao dhidi ya Japan wataingia hatua ya robo fainali.