Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jesus aisaidia Manchester City kuishinda Swansea
Gabriel Jesus alifunga mara mbili likiwemo bao la dakika za ziada na kuiwezesha Manchester City kusonga hadi nafasi ya tatu kwenye ligi kuu katika mechi kali dhid ya Swansea uwanjani Etihad.
Manchester City iliitawala Mechi kipindi cha kwaza likini wao nao walionekana kupata nguvu kipindi cha pili.
Manchester City ilifunga bao lake la kwanza dakika ya 11 baada ya Gabriel Jeses kupata mpira kutoka kwa Raheem Sterling.
Sasa Juses ameifungia Man City mabao 3 kweney mechi mbili tangu ajiunge nao akitokea Palmeiras.
Changamoto sasa kwa kikosi hiki cha Pep Guardiola ni kuteatea mwendo huu.