Jesus aisaidia Manchester City kuishinda Swansea

Chanzo cha picha, Getty Images
Gabriel Jesus alifunga mara mbili likiwemo bao la dakika za ziada na kuiwezesha Manchester City kusonga hadi nafasi ya tatu kwenye ligi kuu katika mechi kali dhid ya Swansea uwanjani Etihad.
Manchester City iliitawala Mechi kipindi cha kwaza likini wao nao walionekana kupata nguvu kipindi cha pili.
Manchester City ilifunga bao lake la kwanza dakika ya 11 baada ya Gabriel Jeses kupata mpira kutoka kwa Raheem Sterling.

Chanzo cha picha, Rex Features
Sasa Juses ameifungia Man City mabao 3 kweney mechi mbili tangu ajiunge nao akitokea Palmeiras.
Changamoto sasa kwa kikosi hiki cha Pep Guardiola ni kuteatea mwendo huu.








