Jamuhuri ya Muungano wa Afrika - Wanaigeria wapendekeza jina jipya la nchi yao

A man with a painted Nigerian face

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, "Watu wa Nigeria wanataka kuitwa rasmi Uranium"
Muda wa kusoma: Dakika 3

Je mtu kutoka Jamhuri ya Muungano wa Afrika ataitwaje? Uranium or Urea?

Jibu ni kuwafanya Wanaigeria wengi kuwa na uelewa kuhusu pendekezo la kubadili jina la nchi.

Wiki mbili mfululizo, wabunge wamekuwa wakikusanya maoni ya wananchi kuhusu kufanya marekebisho katika katiba.

Wazo lilikuwa ni kupata maoni ya kufanya marekebisho kama kwenye uchaguzi na mfumo wa serikali.

Lakini mwananchi kama Adeleye Jokotoye, mshauri wa masuala ya kodi, aliacha jambo moja ambalo liliwashtua wengi mjini Lagos.

Anataka jina la nchi libadilike kutoka kuwa Nigeria akisema ni jina ambalo liliwekwa na wakoloni.

Jina la Nigeria, lilipendekezwa karne ya 19 na mwandishi wa habari wa Uingereza Flora Shaw, ambaye baadaye aliolewa na kiongozi wa utawala wa kikoloni Frederick Lugard.

Limetokea kwenye jina la ziwa Niger ambalo linaingia nchi hiyo kutoka Kaskazini Magharibi na ikitiririka katika maporomoko ya Niger yanayotoka katika bahari ya Atlantic ingawa kuna mikondo mingi.

Lakini bwana Jokotoye anataka kubadili jina la Nigeria ili kuwa Muungano wa Jamhuri ya Afrika - kuwakilisha mamia ya jamii ya kundi la watu wa taifa hili.

Watumiaji wa Twitter wana nadharia ya eneo ambalo wazo la Muungano wa Jamhuri ya Afrika, au UAR, limetokea wapi:

Ruka X ujumbe, 1
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 1

1px transparent line
Ruka X ujumbe, 2
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 2

1px transparent line

Tayari kuna wimbo wa taifa, ambao si mpya kabisa bali ni marejeo ya wimbo wa zamani wa Nigeria:

Ruka X ujumbe, 3
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 3

1px transparent line

Jina jipya la nchi linahitaji fedha mpya:

Ruka X ujumbe, 4
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 4

1px transparent line
1px transparent line

Na kulikuwa na kumbusho la masuala madogo ya mkopo ambao Nigeria inadaiwa na benki ya dunia, IMF na China.

Wengine walifikiri kwamba jina jipya linamaanisha mwanzo mzuri:

Ruka X ujumbe, 5
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 5

1px transparent line

Lakini kila mtu anaona kuwa pendekezo la bwana Jokotoye ni la utani kwa kuwa taifa lina mambo mengi muhimu ya kuzingatia kwanza:

Ruka X ujumbe, 6
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 6

1px transparent line

Lakini mtu kutoka UAR anaitwaje? Wazo la jina la madini ya Uranium - ambalo Nigeria halina -linaonekana linatoka kwa mchekeshaji:

Ruka X ujumbe, 7
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 7

1px transparent line
1px transparent line

Na masuala madogo yanajumuishwa na Uranium:

Ruka X ujumbe, 8
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 8

1px transparent line

Ni kama alijua kuwa baadhi ya wenzake hawatakubaliana na chaguo lake.

Bwana Jokotoye alikuja na mbadala - the United Alkebulan Republic (maana yake ikiwa : United Mother of Mankind Republic), ambalo kwanza halionekani kama la watu wa Afrika, lakini lina herufi hizo hizo.

Pia alitoa mapendekezo kuhusu katiba, kama vile kupendekeza marekebisho katika mfumo wa serikali , udhibiti wa kodi - lakini pia kwa sababu kadhaa hayo hayakuweza kutoa hamasa ya wengi kwa namna ile ile.

Katika wiki zijazo wabunge wataweza kupitia mapendekezo waliopokea kutoka kwa raia wa Nigeria , ingawa hakuna anayejua ni yapi yatashangaza watu au kupitishwa.

Lakini ni kama hatutaweza kuiona Jamuhuri ya Muungano wa Afrika katika uelekeo huo.

Ni jambo la aibu, kama nikiachana na wazo la kuitwa Uranium - lina nguvu sana.