Kwa picha, mkasa wa bwawa Brazil

Bwawa la maji limevunja kingo zake kusini mashariki mwa Brazil na kusababisha mauti na uharibifu mkubwa baada ya maji yaliyochanganyikana na matope kusomba kila kitu ikiwemo barabara na nyumba za watu

Picha zote zinahaki miliki kama zilivyonakiliwa.