Selfie za watu wenye ndevu zinazoogofya

Watu wenye ndevu wamekuwa wakijipiga aina ya selfie kutoka chini na wamekuwa wakiwaogopesha watumiaji wa mitandao ya kijamii.
Baadhi ya watumiaji wa Twitter waliwaambia wenye ndevu hao kuwacha kuangalia juu kwa sababu picha hizo zilikuwa zinatisha.
Picha hizo zilianza kusambazwa baada ya mtumiaji mmoja wa twitter kutuma ujumbe akisema wanaume wenye ndevu wanapoangalia juu tazama.

Watu walijiunga na wengine kuchora nyuso za watu ili kuongezea.
Dan alituma picha zake za ndevu alizopiga picha.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 1

Ilijibiwa mara kumi ya maelfu. Kieron alikuwa wa kwanza kujiunga.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 2

Nikiwa ripota wa kipindi cha Newsbeat mwenye ndevu nyingi pia nilijipata nimepiga picha
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 3

Huku picha hizo zikisambazwa haraka na kwa wetu wengi kwa mufda mfupi kama ilivyo ada katika mtandao wa twitter, watu walianza kumwambia mtu wa kwanza kupiga picha hiyo kuongeza mapambo katika picha hiyo
Scott alituma ujumbe wa twitter akimtaka Dan kuchora uso katika shingo zao na wengine wakakubliano kwamba huo ndio mwelekeo.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 4

Baadhi ya watu waliongezea macho na emoji na mtu mmoja akachora uso wake na kalamu.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 5


Sio kila mtu alifurahia picha hizo zilizosambazwa , kuna wengine wanahoji ni nini haswa kinachowavutia katika picha hizo.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 6













