Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Merkel afuta ziara Algeria baada ya Rais Bouteflika kuugua
Chansela wa Ujerumani Angela Merkel amefuta ziraa take nchini Algeria kufuatia kile kinachotajwa kuwa afya mbaya ya rais wa nchi hiyo Abdelaziz Bouteflika.
Rais Bouteflika wa umri wa miaka 79 anasumbuliwa na tatizo la kupumua kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa ofisi ya rais iliyochopishwa na shirika la APS.
Bi Merkel anatarajiwa kufanya mazungumzo na Rais Bouteflika katika masuala ya usalama na uhamiaji.
Sasa ziara hiyo itapangwa siku tafauti, kwa mujibu wa ofisi ya rais.
Bwana Boutfkliua, alipatwa aa kiharusi mwaka 2013 na si rahisi kuonekana hadharani.