Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ramadhani: Baadhi ya tamaduni zimebadilika Zanzibar
Muda wa kusoma: Dakika 1
Waumini wa dini ya Kiislam Afrika Mashariki wameanza rasmi mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Visiwani Zanzibar, wakaazi wengi ni waumini wa dini ya Kiislam, sasa wakati mafundisho na miongozo mingine ya kidini juu ya mwezi huu mtukufu imedumu kwa karne na karne, viongozi wa dini na hata waumini pia visiwani humo wanasema baadhi ya tamaduni zinabadilika. Sammy Awami ametuandalia taarifa ifuatayo