Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Maandamano Tanzania: 'Tuliwaona polisi waliowapiga risasi jamaa zetu'
Muda wa kusoma: Dakika 1
Kufuatia maandamano ya uchaguzi wa Tanzania yaliosababisha uharibifu wa mali na maafa, baadhi ya familia za jamaa waliofariki zimeanza kuzungumza.