Maandamano Tanzania: 'Tuliwaona polisi waliowapiga risasi jamaa zetu'

Muda wa kusoma: Dakika 1
Kufuatia maandamano ya uchaguzi wa Tanzania yaliosababisha uharibifu wa mali na maafa, baadhi ya familia za jamaa waliofariki zimeanza kuzungumza.

Kufuatia maandamano ya uchaguzi wa Tanzania yaliosababisha uharibifu wa mali na maafa, baadhi ya familia za jamaa waliofariki zimeanza kuzungumza.