Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Putin kutumia kombe la Dunia katika amani.
Mwanasiasa wa siku nyingi nchini Urusi Boris Johnson amesema anakubaliana na kauli ya Rais wa Urusi Vladimir Putin kuwa ataitumia michuano ya kombe la Dunia kuifanya Urusi kuwa nchi ya amani kama alivyowahi kuitumia rais wa Ujerumani Aldolf Hitler michuano ya Olimpiki ya mwaka 1936 katika masuala ya amani.
Johnson amesema kuwa kutakuwa na mazungumzo ya haraka dhidi ya Urusi kuhusu usalama wa mashabiki katika mashindano hayo yajayo, msemaji wa Wizara ya Mambo ya nje ya urusi amesema wanaurusi wameathitika na chuki iliyodumu kwa muda mrefu.