Jinsi wanajeshi wa Marekani walivyopigwa viazi nchini Syria

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anasema kuwa ataendelea na operesheni ya kijeshi kaskazini mashariki mwa Syria "akiwa na azma kuu " ikiwa wapiganaji wa Kikurdi watashindwa kutekeleza wajibu wao katika makubaliani ya usitishaji mapigano na Marekani