Wafanyakazi watano wa Azam TV wafariki ajalini wakielekea Chato

Chanzo cha picha, MCL
Watu saba wakiwemo wafayakazi watano wa Azam TV wamefariki katika ajali nchini Tanzania.
Ajali hiyo imetokea Shelui, Singida na kuhusisha magari mawili yaliyogongana uso kwa uso.
Wafanyakazi hao wa Azam TV walikuwa njiani kwenda kurusha matangazo mbashara ya uzinduzi wa Hifadhi ya Taifa ya Burigi-Chato.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 1
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida Sweetbert Njewike ameiambia BBC kuwa ajali hiyo imetokea saa mbili asubuhi hii leo.
Wafanyakzi wa Azam walikuwa wanasafiri kwenye basi aina ya Coaster wakitokea Dar es Salaam.
Gari lao liligongana uso kwa uso na lori ambalo lilikuwa likitokea Mwanza.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 2
Wafanyakazi wa Azam TV waliofariki kwenye ajali hiyo ni Salim Mhando (muongozaji wa matangazo), Florence Ndibalema (Mhandisi wa Sauti), Sylvanus Kasongo (Mhandisi Mitambo) na wapiga picha wawili Said Haji na Charles Wandwi.
Watu wengine wawili waliofariki ni dereva wa gari ambalo Azam TV walilikodi pamoja na msaidizi wake, majina ya wawili hao bado hayajapatikana.
Wafanyakazi watatu wa Azam TV wamejeruhiwa ambao ni Artus Masawe, Mohammed Mwinshehe na Mohammed Mainde.
Mtendaji Mkuu wa Azam Media Tido Mhando amesema majeruhi wawili wapo katika hali ya mahututi na mmoja hali yake inaendelea vizuri.
Kwa mujibu wa Tido, maiti zipo hospitali ya Iramba mkoani Singida, na majeruhi wapo Hospitali ya Igunga mkoani Tabora.
"...utaratibu wa kupata helikopta za kusafirisha miili ya marehemu na majeruhi kuja hospitalini Muhimbili jijini Dar es Salaam inaendelea," amesema Tido kupitia runinga za Azam Media Ltd.
Rais Magufuli atuma salamu za pole
Rais John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Mwenyekiti wa Kampuni za Said Salim Bakhresa kufuatia vifo hivyo.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 3
"Nimeshtushwa na vifo hivi, nampa pole Mwenyekiti Ndg. Said Salim Bakhresa, ndugu wa Marehemu wote, Mtendaji Mkuu Ndugu Tido Mhando na wafanyakazi wote wa Azam Media Ltd, waandishi wa habari na wote walioguswa na msiba huu," taarifa ya Ikulu imemnukuu rais Magufuli akisema.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 4
Viongozi mbalimbali na mashirika mbalimbali wametoa salamu za faraja kwa Ndugu,jamaa na marafiki, Waziri wa Utalii Hamisi Kigwangala ameomboleza vifo hivyo akisema moyo wake unatokwa machozi ya damu.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 5
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 6
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 7












