Kwa Picha: Mazishi ya dada yake rais wa Tanzania John Magufuli yalivyokuwa Chato, Geita, Raila Odinga ahudhuria

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya, Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga aliungana na viongozi wastaafu wa Tanzania katika mazishi ya dadake Rais wa Tanzania Joseph Magufuli, Monica Magufuli.

Mazishi hayo yalifanyika katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita.

Bw Odinga akiwa marais wastaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa na Alhaji Ali Hassan Mwinyi

Chanzo cha picha, IKULU, Tanzania

Maelezo ya picha, Bw Odinga akiwa marais wastaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa na Alhaji Ali Hassan Mwinyi wakati wa mazishi
Raila

Chanzo cha picha, Ikulu

Maelezo ya picha, Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya Raila Odinga akitoa heshma za mwisho katika jeneza lenye mwili wa Marehemu Monica Magufuli.

Bi Monica alifariki dunia asubuhi ya tarehe 19 Agosti, 2018 katika hospitali ya Bugando Jijini Mwanza alikokuwa akipokea matibabu.

Rais Magufuli alikuwa amemtembea hospitalini Magufuli Jumamosi akiwa amelazwa katika Chumba cha uangalizi Maalum ICU.

Odinga

Chanzo cha picha, Ikulu

Raila Odinga

Chanzo cha picha, RAILA ODINGA/TWITTER

Rais Magufuli akiwa anazungumza jambo na Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi mara baada ya kumaliza mazishi.

Monica

Chanzo cha picha, Ikulu

Magufuli

Chanzo cha picha, Ikulu

Rais Magufuli akiweka shada la maua katika kaburi la dada yake baada ya mazishi.

Mwinyi

Chanzo cha picha, Ikulu

Rais Magufuli akitoa heshima za mwisho katika jeneza

Chanzo cha picha, Ikulu

Maelezo ya picha, Rais Magufuli akitoa heshima za mwisho katika jeneza
Magufuli akiwa na Mama yake mzazi Suzana Magufuli wakati wakitoa heshma za mwisho katika jeneza

Chanzo cha picha, Ikulu

Rais Magufuli akiwa na Mama yake mzazi Suzana Magufuli wakati wakitoa heshma za mwisho katika jeneza.

Rais Magufuli akiweka udongo ndani ya kaburi

Chanzo cha picha, Ikulu

Magufuli akiweka udongo ndani ya kaburi.

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akitoa heshma za Mwisho katika jeneza

Chanzo cha picha, Ikulu

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akitoa heshma za Mwisho katika jeneza.

Baba Askofu mkuu Mwandamizi Yuda Thaddeus Ruwaichi akiongoza Misa ya kumuombea Marehemu Monica Magufuli Chato mkoani Geita

Chanzo cha picha, Ikulu

Baba Askofu mkuu Mwandamizi Yuda Thaddeus Ruwaichi akiongoza Misa ya kumuombea Marehemu Monica Magufuli Chato mkoani Geita.

Picha zote: Ikulu, Tanzania