Kwa Picha: Mafuriko yasababisha hasara Dar es Salaam

Nyumba ambayo imeporomoka

Mvua kubwa ambayo imekuwa ikinyesha maeneo mengi pwani ya Tanzania imesababisha mafuriko na uharibifu mkubwa.

Katika eneo la Mji Mpya, Kawe, nyumba zimebomoka na baadhi ya maeneo hayapitiki.

Mwandishi wa BBC Eagan Salla ametembelea maeneo hayo na anasema nyumba zaidi ya 20 zimeharibiwa vibaya na mafuriko.

Hizi hapa ni baadhi ya picha za hali ilivyo mtaani humo.

Kuvuka
Baadhi ya wakazi wanajaribu kunusuru mali yao
Maelezo ya picha, Baadhi ya wakazi wanajaribu kunusuru mali yao
Mtoni
Nyumba ambayo imeporomoka
Uharibifu

Mmoja wa wakati aliamua kuanika nguo zake zilizoloa maji zikauke.

Nguo zikikauka