Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ndege zagongana nchini Canada
Ndege mbili zimegongana zilipokuwa katika anga ya eneo moja la shughuli nyingi za kibiashara huko nchini Canada.
Rubani mmoja amefariki na mwengine kureruhiwa vibaya sana.
Police wanasema hata ni miujiza kwamba hamna mtu mengine yeyote aliyejurihiwa licha ya ndege moja ya hizo kuanguka juu ya paa la mojawapo ya maduka makubwa la eneo hilo nje kidogo mwa mji wa Montreal.
Ndege nyengine ilianguka eneo la kuogesha magari.
Ndege zote ni za aina ya Cessnas kutoka shule moja ya ufunzi wa urubani - Hali hmbaya ya hewa ndio unadhaniwa kusababisha ajali hiyo.