Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ouattara afukuza wakuu wa majeshi, baada ya uasi
Siku ya Ijumaa wanajeshi wenye chuki waliasi katika mji wa Bouake, kabla ya vikosi vya jeshi vilivyo katika kambi kwenye miji mingine kuunga mkono hatua hiyo.
Uasi huo wakitaka nyongeza ya mshahara, ulimalizika baada ya Rais Ouattara kukubali matakwa yao.
Taarifa kutoka Ikulu ya nchi hiyo inasema Mkuu wa Majeshi, mkuu wa jeshi la polisi wameachishwa kazi mara moja.