Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Daktari aliyegundua na kumtibu mgonjwa wa kwanza wa UKIMWI Tanzania
Imetimia miaka 40 sasa tangu kugundulika kwa ugonjwa wa UKIMWI ambao uliingia Afrika Mashariki mwaka 1983.
Maelfu ya watanzania walipoteza Maisha, huku ikiwa vigumu kuweza kukabiliana nao kutokana na mila potofu.
Callixte Twagirayezu alikua daktari aliyemtibu mgonjwa wa kwanza kabisa wa virusi vya UKIMWI.
Katika mahojiano na BBC, daktari huyu ambaye kwa sasa ana miaka 93 anasema kilikua miongoni mwa vipindi vigumu kuwahi kushuhudia maishani mwake.
Video: @Bosha_nyanje