Wimbo mpya wa Diamond unaomshirikisha Zari 'Iyena' wazua hisia

Chanzo cha picha, AFP/Getty Images
Wimbo mpya wa nyota wa muziki wa bongo Diamond Platinumz kwa jina 'Iyena' unaomshirikisha mfanyibiashara wa Uganda na mama wa watoto wake wawili Zari Hassan umezua hisia kali.
Wimbo huo ambao ni wa pili katika albamu yake ya ABoyFromTandale kwa jina IYENA unaomuhusisha msanii Rayvanny unamuonyesha mwanamuziki huyo akifunga ndoa na Zari Hassan licha ya wawili hao kuwachana.
Kanda hiyo ya video ilio na mandhari ya ndoa ilirekodiwa wakati wawili hao walipokuwa pamoja.
Katika wimbo huo Platinumz anaonekana akifunga ndoa na mama wa watoto wake wawili huku Rayvany na Fahyma wakiwa wasimamizi wakuu wa harusi hiyo.
Baadhi ya mashabiki walidhania kwamba wimbo huo ulikuwa wa ishara ya msani huyo kurudiana na Zari Hassan
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 1
Katika wimbo huo Platinumz anamuhakikishia Zari kwamba 'talaka ndio njia ya mwisho atakayokuwa akifikiria baada ya kufunga ndoa'.

Hivi ndivyo msanii huyo alivyoandika katika mtandao wake wa twitter kabla ya kutoa kibao hicho:
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 2
Na punde tu baadaye mashabiki wake walituma ujumbe katika mtadao wa twitter wakijibu.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 3
Hatahivyo kuna wale waliokerwa na msanii huyo kutoa wimbo huo mwezi mtukufu wa Ramadhan
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 4
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 5
Zari na Diamond waliwachana mwezi Februari mwaka huu baada ya kuwa pamoja kwa takriban miaka mitatu.
Zari alisitisha uhusiano wao siku ya wapendwanao ya Valentine kwa kuchapisha ua jeusi na ujumbe mrefu kwa Diamond akisema amechoshwa na 'tabia' ya mwanamuziki huyo.












