Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mugabe: Zimbabwe ni ya pili kwa maendeleo Afrika
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kuwa Zimbabwe ni taifa lililoendelea zaidi barani Afrika baada ya Afrika kusini.
Amekana madai kwamba taifa hilo ni tete .
''Tuna takriban vyuo vikuu 14 na asilimia 90 ya watu wamekwenda shule ikiwa ni kiwango kikubwa zaidi barani Afrika huku akiongezea kwamba uchumi unaimarika.
Zimbabwe imekuwa ikishindwa kuwalipa wafanyikazi wa serikali na imewekwa katika nafasi ya 24 na shirika la umoja wa mataifa UNDP kwa maendeleo barani Afrika.