Maisha ya Papa Francis katika Picha

.

Chanzo cha picha, Getty Images

Muda wa kusoma: Dakika 3

Papa Francis amefariki dunia baada ya kuongoza Kanisa Katoliki kwa zaidi ya muongo mmoja.

Mara ya mwisho kuonekana hadharani ilikuwa kwenye kibaraza cha juu cha Kanisa kuu la Vatican la Mtakatifu Peter's Basilica ili kuwatakia "Pasaka Njema" maelfu ya waumini.

Papa, akiwa katika kiti cha magurudumu, alipungia mkono kwa umati wa watu waliokuwa wakishangilia katika Uwanja wa mtakatifu St Peter's kwa chini.

Papa alidhamiria kuwa na Kanisa jumuishi zaidi, hizi hapa ni baadhi ya picha za kushangaza za maisha yake na upapa mpaka anafariki akiwa na umri wa miaka 88.

m

Chanzo cha picha, Remo Casilli/Reuters

,

Chanzo cha picha, Sipa US/Alamy Stock

,

Chanzo cha picha, Guglielmo Mangiapane/Reuters

Maelezo ya picha, Francis alikuwa tayari na umri wa miaka zaidi ya sabini alipokuwa Papa mwaka 2013 - kuchukua nafasi ya Benedict XVI aliyestaafu
Papa

Chanzo cha picha, FRANCO/GETTY

Maelezo ya picha, Imani za Francis za uliberali wa kijamii zilitofautishwa na mitazamo ya kimapokeo ya Benedict, lakini Francis alisema mtangulizi wake "hakuwahi kuingilia" na mara nyingi wawili hao walionekana pamoja kwenye bustani ya Vatican.
Papa

Chanzo cha picha, ANTONIO/GETTY

Maelezo ya picha, Mnamo 2022, Francis alikua Papa wa kwanza kwa zaidi ya karne moja kumzika mtangulizi wake , wakati Benedict alipofariki akiwa na umri wa miaka 95

Alizaliwa kama Jorge Mario Bergoglio huko Buenos Aires, Argentina, tarehe 17 Desemba 1936 , akiwa ndiye mkubwa katika watoto watano. Wazazi wake walikuwa wamekimbia nchi yao ya asili ya Italia ili kuepuka ufashisti.

,

Chanzo cha picha, API/GAMMA/Gamma-Rapho via Getty Images

Maelezo ya picha, Wazazi wake, Regina Maria Sivori na Mario Jose Francisco siku ya harusi yao
papa

Chanzo cha picha, Jesuit General Curia via Getty Imag

Maelezo ya picha, Jorge Mario Bergoglio akiwa kijana, kabla baadaye kuja kuwa Papa

Alikua katika familia ya wafanya kazi, maisha yake ya utotoni yaliwekwa alama ya urahisi na kujitolea kwa imani yake

Papa

Chanzo cha picha, Franco Origlia/Getty Images

Maelezo ya picha, Jorge Mario Bergoglio (mstari wa juu, wa pili kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na familia yake muda mfupi baada ya kuwa Kasisi

Akiwa kijana Bergoglio alifanya kazi kama mlinzi (bouncer) katika klabu ya usiku na aliwahi kuwa mfanya usafi. Ailikuwa akishabikia klabu ya soka ya eneo analotoka, San Lorenzo de Almagro, shauku aliyodumiu nayo kwa muda mrefu hata baada ya kuwa Kasisi mnamo 1969

,

Chanzo cha picha, API/GAMMA/Gamma-Rapho via Getty Images

Papa Fransis wakati wa uhao wake alifanya juhudi za kukuza amani ya dunia n alitafuta kuponya mpasuko wa miaka elfu moja na Kanisa la Othodoksi la Mashariki na kufanya kazi na Waanglikana, Walutheri na Wamethodisti

,

Chanzo cha picha, AFP

.

Chanzo cha picha, Reuters

b

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Aliwahi kutembelea nchi za Afrika zikiwemo Kenya, Uganda na Jamhuri ya Afrika ya Kati, katika jitihada za kujaribu kuwaleta pamoja Wakristo na Waislamu.
,

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Mwaka 2023 alitembela Sudan Kusini kuhimiza amani
.

Chanzo cha picha, Vatican/EPA