Wachezaji 47 wa Afrika wanaocheza Ligi Kuu England

Victor Moses

Chanzo cha picha, Rex Features

Katika msimu wa 2017/2018 kutakuwa na wachezaji 47 kutoka nchi za Afrika wanaochezea klabu za Ligi Kuu ya England.

Hii ni kwa mujibu wa orodha ya wachezaji 25 wa kila timu ambao waliwafilishwa kwa Ligi ya Premia.

Wachezaji hao ni asilimia 9 ya wachezaji wote katika ligi hiyo, ambalo ni ongezeko ndogo ukilinganisha na msimu uliopita ambapo walikuwa 45.

Leicester City wanaongoza wakiwa na wachezaji saba, wakifuatwa na Crystal Palace, Newcastle United na West Ham ambao wana wachezaji wanne kutoka Afrika kila klabu.

Ni klabu moja pekee - Burnley - ambayo haina mchezaji wa kutoka Afrika msimu huu.

Senegal inaongoza kwa kuwa na wachezaji wengi zaidi, tisa, ikifuatwa na Nigeria iliyo na wachezaji sita.

DRC, Ghana na Ivory Coast zina wachezaji watano kila nchi.

Wachezaji kwa nchi (zenye wachezaji wengi):

Senegal

Pape Souare

Idrissa Gana Gueye

Oumar Niasse

Sadio Mane

Mohamed Diame

Henry Saivet

Mame Diram Diouf

Chekhou Kouyate

Diafra Sakho

Nigeria

Alex Iwobi

Ahmed Musa

Wilfred Ndidi

Kelechi Iheanacho

Isaac Success

Victor Moses

Ivory Coast

Wilfred Zaha

Yaya Toure

Eric Bailly

Wilfried Bony

Serge Aurier

Ghana

Jeffrey Schlupp

Daniel Amartey

Christian Atsu

Jordan Ayew

Andre Ayew

DRC

Benik Afobe

Yannick Bolasie

Elias Kachunga

Chancel Bemba

Arthur Masuaku

Wachezaji kwa klabu:

AFC Bournemouth

Benik Afobe (DRC)

Arsenal

Mohamed Elneny (Misri)

Alex Iwobi (Nigeria)

Brighton & Hove Albion

Gaetan Bong (Cameroon)

Chelsea

Victor Moses (Nigeria)

Crystal Palace

Bakary Sako (Mali)

Jeffrey Schlupp (Ghana)

Pape Souare (Senegal)

Wilfred Zaha (Ivory Coast)

Everton

Yannick Bolasie (DRC)

Idrissa Gana Gueye (Senegal)

Oumar Niasse (Senegal)

Huddersfield Town

Elias Kachunga (DRC)

Steve Mounie (Benin)

Leicester City

Daniel Amartey (Ghana)

Yohan Benalouane (Tunisia)

Riyad Mahrez (Algeria)

Ahmed Musa (Nigeria)

Wilfred Ndidi (Nigeria)

Kelechi Iheanacho (Nigeria)

Islam Slimani (Algeria)

Liverpool FC

Sadio Mane (Senegal)

Joel Matip (Cameroon)

Mohamed Salah (Misri)

Manchester City

Yaya Toure (Ivory Coast)

Manchester United

Eric Bailly (Ivory Coast)

Newcastle United

Mohamed Diame (Senegal)

Chancel Mbemba (DRC)

Christian Atsu (Ghana)

Henry Saivet (Senegal)

Southampton FC

Sofiane Boufal (Morocco )

Mario Lemina (Gabon)

Stoke City

Eric Choupo-Moting (Cameroon)

Mame Biram Diouf (Senegal)

Ramadan Sobhi (Egypt)

Swansea City

Jordan Ayew (Ghana)

Wilfried Bony (Ivory Coast)

Tottenham Hotspur

Serge Aurier (Ivory Coast)

Victor Wanyama (Kenya)

Watford FC

Isaac Success (Nigeria)

Molla Wague (Mali)

Brice Dja Djedje (Ivory Coast)

West Ham United

Andre Ayew (Ghana)

Chekhou Kouyate (Senegal)

Arthur Masuaku (DRC)

Diafra Sakho (Senegal)

West Bromwich Albion

Allan Nyom (Cameroon)

Ahmed Hegazi (Misri)