Tazama kilichogunduliwa kwenye kaburi la kale nchini Misri

Chanzo cha picha, Reuters
Mambo ya kale ya kaburi linalokisiwa kuwa la zaidi ya miaka 3,500 yamegunduliwa Misri.
Wana akiolojia walioshirikiana na chuo cha Ufaransa cha Strasbourg walifanya ugunduzi huo katika bonde la Assasseef karibu na mjini wa Laxor.
Majeneza mawili ya miili yaligunduliwa.
Pia wana akiolojia hao waligundua karibu vifaa 1,000 vya kale.
Kaburi hilo linaaminiwa kutoka miaka ya 1550 BC na 1300 BC.

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, EPA

Chanzo cha picha, EPA

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters








