Kwa Picha: Ndani ya ubalozi wa Eritrea nchini Ethiopia uliofungwa miaka 20 iliyopita

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC
Vyombo vya nyumbani vikwemo fanicha, magari na hata chupa za mvinyo vimefichuliwa wakati Eritrea ilifungua rasmi milango ya ubalozi wake, mjini Addis Ababa kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1998 wakati nchi hizo mbili ziliingia vitani.
Ni sehemu ya mikakati ya kuboresha uhusiano kati ya nchi hizo mbili ambazo hivi majuzi zilikubaliana kuwa na uhusiano wa kidiplomasia licha ya mzozo kumalizika mwaka 2000.
Picha hizi zilinaswa na BBC ndani ya ubalozi.

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC
All pictures subject to copyright.








