Kwa Picha: Ndani ya ubalozi wa Eritrea nchini Ethiopia uliofungwa miaka 20 iliyopita

Inside the Eritrean embassy. This and other embassy furniture from twenty years ago has been handed over by the Eritrean leader to his Ethiopian counterpart.

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Maelezo ya picha, Fanicha hii ilitumiwa na balozi wa Eritrea nchini Ethiopia miongo miwili iliyopita

Vyombo vya nyumbani vikwemo fanicha, magari na hata chupa za mvinyo vimefichuliwa wakati Eritrea ilifungua rasmi milango ya ubalozi wake, mjini Addis Ababa kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1998 wakati nchi hizo mbili ziliingia vitani.

Ni sehemu ya mikakati ya kuboresha uhusiano kati ya nchi hizo mbili ambazo hivi majuzi zilikubaliana kuwa na uhusiano wa kidiplomasia licha ya mzozo kumalizika mwaka 2000.

Picha hizi zilinaswa na BBC ndani ya ubalozi.

Inside the Eritrean embassy

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Maelezo ya picha, Magari haya yako kwenye ubalozi mjini Addis Ababa
Bottles of beer, wine and olive oil in a crate

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Maelezo ya picha, Their vintage is unknown but these untouched bottles of wine, beer and olive oil were found in a dusty crate.
President Isaias Afwerki at the embassy with his host Prime Minister Abiy Ahmed as he raises Eritrea's flag for the first time in 20 years

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Maelezo ya picha, Rais Isaias Afwerki - akiwa na waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed - akipandisha bendera ndani ya ubalozi kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 20
President Isaias (L) and Prime Minister Abiy (R) talk inside the former embassy

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Maelezo ya picha, Isaias (kushoto) na waziri mkuu Abiy (kulia) wakiwa kwenye majengo ya ubalozi
Inside the Eritrean embassy

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Maelezo ya picha, Makaazi ya wafanyakajazi wa ubalozi yakiwa na picha ambazo hazijulikani ni za nani
Ethiopia's Prime Minister Abiy (C) handed the key to the embassy to Eritrea's President Isaias

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Maelezo ya picha, Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy (katikati) akimpa funguo za ubalozi rais wa Eritrea Isaias (kulia)
Band outside the Eritrean embassy

Chanzo cha picha, Kalkidan Yibeltal/BBC

Maelezo ya picha, Bendi wakati wa kufunguliwa kwa ubalozi mjini Addis Ababa

All pictures subject to copyright.