Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi wa Uingereza: Kwa nini Waafrika wanapaswa kuujali?
Tarehe 4 Julai, wananchi wa Uingereza watapiga kura katika uchaguzi mkuu. Kushughulikia suala la uhamiaji suala linalopewa linalopewa kipaumbele cha kwanza katika orodha cha mambo anayofaa kuyafanya waziri mkuu mpya. Hili ni jambo ambalo litaiathiri sana Afrika na watu wa Afrika.
Lakini je kwa nini unapaswa kuwa makini kufuatilia kinachoendelea katika uchaguzi wa Uingereza?. Mtangazaji anaelezea masuala muhimu katika ufafanuzi huu.