Frimpoing Osei: Alivitaja Vijiji vyenye majina ya sehemu za siri Ghana

Kila mtu alilazimika kuuficha uso wake katika bunge la Ghana siku ya Alhamisi baada ya mbunge mmoja kuorodhesha baadhi ya majina ya vijiji katika eneo bunge lake ambayo yanashirikisha majina ya sehemu za siri za wanaume na wanawake.
Mbunge Frimpoing Osei alikuwa akimuuliza waziri wa kawi kuhusu usambazaji wa umeme katika maeneo kadhaa ya eneo bunge lake la Abirem.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 1
Katika kanda ya video anaonekana akitaja majina ya Etwe nim Nyansa, Kote Ye Aboa na Shua ye Morbor - na tatizo lilikuwa kutafsiri majina hayo kwa lugha ya kiingereza.
- Etwe nim Nyansa
- Kote Ye Aboa
- Shua ye Morbor
Majina hayo yamewaacha raia wengi wa Ghana ambao walikuwa hawajayasikia kabla ya kutajwa katika bunge kushindwa yalitoka wapi.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe, 2
Mwandishi wa BBC Thomas Naadi nchini Ghana anasema kuwa majina hayo hutolewa na maselta wa kwanza kwa jamii na yanatokana na maisha ya watu wa jamii hizo








