Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Alex Maina: Mwalimu mkuu anayevaa sare ya wanafunzi shuleni Kenya
Alex Maina, mwalimu mkuu wa shule ya Friends School Kamusinga, - mojawapo ya shule bora nchini Kenya anavaa sare ya wanafunzi shuleni Jumatatu na Ijumaa.
Sababu? 'Mimi ndiye mwanafunzi nambari moja,' anasema.
Video: Anthony Irungu, BBC
Unaweza kusoma pia: