Alex Maina: Mwalimu mkuu anayevaa sare ya wanafunzi shuleni Kenya
Alex Maina, mwalimu mkuu wa shule ya Friends School Kamusinga, - mojawapo ya shule bora nchini Kenya anavaa sare ya wanafunzi shuleni Jumatatu na Ijumaa.
Sababu? 'Mimi ndiye mwanafunzi nambari moja,' anasema.
Video: Anthony Irungu, BBC
Unaweza kusoma pia:



