Kwa Picha: Kuapishwa kwa rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa

Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amekula kiapo cha kuchukua uongozi katika uwanja uliojaa umati mkubwa wa watu katika mji mkuu wa Harare

Tunatazama picha za sherehe hiyo na umati mkubwa uliokongamana katika uwanja huo wa kitaifa wa michezo.

Uwanja wa michezo unaobeba watu 60,000 ulijaa huku raia wa Zimbabwe wakitaka kushuhudia kuapishwa kwa rais mpya.

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Uwanja wa michezo unaobeba watu 60,000 ulijaa huku raia wa Zimbabwe wakitaka kushuhudia kuapishwa kwa rais mpya.
Kuapishwa kwa bwana Mnangagwa kunafuatia kuondoka madarakani kwa Robert Mugabe baada ya kuwa mamlakani kwa takriban miaka 37

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Kuapishwa kwa bwana Mnangagwa kunafuatia kuondoka madarakani kwa Robert Mugabe baada ya kuwa mamlakani kwa takriban miaka 37
Bwana Mnangagwa alikuwa makamu wa rais wa Kwnaza ambaye alifutwa kazi mapema mwezi huu hatua iliosababisha jeshi kuingilia kati na kumshinikiza Mugabe kujiuzulu

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Bwana Mnangagwa alikuwa makamu wa rais wa Kwnaza ambaye alifutwa kazi mapema mwezi huu hatua iliosababisha jeshi kuingilia kati na kumshinikiza Mugabe kujiuzulu
bwana Mnangagwa, ambaye alilitoroka taifa hilo alirudi kutoka mafichoni siku ya Jumatano tarehe 21 Novemba

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, bwana Mnangagwa, ambaye alilitoroka taifa hilo alirudi kutoka mafichoni siku ya Jumatano tarehe 21 Novemba
Rais mpya na mkewe Axilia

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Rais mpya na mkewe Axilia
Bwana Mnangagwa amekuwa katikatiu ya urtawala wa Mugabe kwa takriban miaka 37

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Bwana Mnangagwa amekuwa katikatiu ya urtawala wa Mugabe kwa takriban miaka 37
Mkuu wa jeshi jenerali Constantino Chiwenga, mtu aliyeongoza mapinduzi ya Robert Mugabe akitazama kuapishwa kwa Mnangagwa

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Mkuu wa jeshi jenerali Constantino Chiwenga, mtu aliyeongoza mapinduzi ya Robert Mugabe akitazama kuapishwa kwa Mnangagwa
Bwana Mnangagwa anashirikishwa na wengi na mabaya yaliofanyika chini ya utawala wa Zanu-Pf

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Bwana Mnangagwa anashirikishwa na wengi na mabaya yaliofanyika chini ya utawala wa Zanu-Pf
Katika hotuba yake alimsifu mtangulizi wake Robert Mugabe

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Katika hotuba yake alimsifu mtangulizi wake Robert Mugabe
Pia aliahidi kuwatumia raia wote wa Zimbabwe , sio wanachama wa Zanu Pf pekee.

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Pia aliahidi kuwatumia raia wote wa Zimbabwe , sio wanachama wa Zanu Pf pekee.
Viongozi kutoka mataifa jirani ya Zimbabwe walihudhuria

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Viongozi kutoka mataifa jirani ya Zimbabwe walihudhuria
Alikuwa waziri wa zamani wa ulinzi , usalama na amekuwa na uhusiano wa karibu na Jeshi

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Alikuwa waziri wa zamani wa ulinzi , usalama na amekuwa na uhusiano wa karibu na Jeshi
Jeshi liliingilia kati na kumng'atua mamlakani Robert Mugabe

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Jeshi liliingilia kati na kumng'atua mamlakani Robert Mugabe
Umati mkubwa wa watu ulifurahia wakati wa kupigwa kwa mizingia 21 kama heshima ya kumkaribisha rais mpya huku ndege za kijesh zikiwa angani

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Umati mkubwa wa watu ulifurahia wakati wa kupigwa kwa mizingia 21 kama heshima ya kumkaribisha rais mpya huku ndege za kijesh zikiwa angani
Raia wengi wa Zimbabwe waliunga mkono hatua ya jeshi ya kuingilia kati kumuondoa Mugabe

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Raia wengi wa Zimbabwe waliunga mkono hatua ya jeshi ya kuingilia kati kumuondoa Mugabe