Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
OJ Simpson aachiliwa kutoka gerezani huko Nevada, Marekani
Aliyekuwa nyota wa kandanda na muigizaji nchini Marekani OJ ameachiliwa kutoka gerezani kwa msamaha baada ya kutumikia kifungo cha mika 9 kwenye gereza la Nevada.
Amekuwa gerezani kwa makosa ya wizi wa mabavu kwa kutumia silaha hatari na mashtaka mengine 10 ya mwaka 2o17 kwenye hoteli moja huko Vegas.
Mwaka 1995 aliondolewa mashtaka ya kumuua aliyekuwa mke wake Nocole Brown Simpson na rafiki wake Ron Goodman
Video zilizochapishwa kwenye mtandao wa Facebook zilionyeha akisaini stakabadhi na akiondoka kituo cha Lovelock Correctional Center mapema Jumapili.