Afcon 2023: Tanzania yaaga mashindano huku DR Congo ikisonga mbele

.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Mchezaji wa DR Congo akimshukuru maualna baada ya kufuzu katika hatua ya muondoano

Kombe la Mataifa ya Afrika 2023

Ratiba ya Mechi & Matokeo
Awamu ya Makundi
Kundi
  • P - Imecheza
  • W - Imeshinda
  • L - Imeshindwa
  • D - Imetoka Sare
  • GD - Tofauti ya bao
  • Pts - Alama
    • Kundi A
      Nchi P W L D GD Pts
      Equatorial Guinea 320167
      Nigeria 320127
      Ivory Coast 3120-33
      Guinea Bissau 3030-50
      • 13/01/2024, 20:00
        Ivory Coast 2
        -
        0 Guinea Bissau
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
      • 14/01/2024, 14:00
        Nigeria 1
        -
        1 Equatorial Guinea
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
      • 18/01/2024, 14:00
        Equatorial Guinea 4
        -
        2 Guinea Bissau
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
      • 18/01/2024, 17:00
        Ivory Coast 0
        -
        1 Nigeria
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
      • 22/01/2024, 17:00
        Equatorial Guinea 4
        -
        0 Ivory Coast
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
      • 22/01/2024, 17:00
        Guinea Bissau 0
        -
        1 Nigeria
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
    • Kundi B
      Nchi P W L D GD Pts
      Cape Verde 320147
      Misri 300303
      Ghana 3012-12
      Msumbiji 3012-32
      • 14/01/2024, 17:00
        Misri 2
        -
        2 Msumbiji
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
      • 14/01/2024, 20:00
        Ghana 1
        -
        2 Cape Verde
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
      • 18/01/2024, 20:00
        Misri 2
        -
        2 Ghana
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
      • 19/01/2024, 14:00
        Cape Verde 3
        -
        0 Msumbiji
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
      • 22/01/2024, 20:00
        Cape Verde 2
        -
        2 Misri
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
      • 22/01/2024, 20:00
        Msumbiji 2
        -
        2 Ghana
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
    • Kundi C
      Nchi P W L D GD Pts
      Senegal 330079
      Cameroon 3111-14
      Guinea 3111-14
      Gambia 3030-50
      • 15/01/2024, 14:00
        Senegal 3
        -
        0 Gambia
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
      • 15/01/2024, 17:00
        Cameroon 1
        -
        1 Guinea
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
      • 19/01/2024, 17:00
        Senegal 3
        -
        1 Cameroon
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
      • 19/01/2024, 20:00
        Guinea 1
        -
        0 Gambia
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
      • 23/01/2024, 17:00
        Gambia 2
        -
        3 Cameroon
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Bouaké)
      • 23/01/2024, 17:00
        Guinea 0
        -
        2 Senegal
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
    • Kundi D
      Nchi P W L D GD Pts
      Angola 320137
      Burkina Faso 3111-14
      Mauritania 3120-13
      Algeria 3012-12
      • 15/01/2024, 20:00
        Algeria 1
        -
        1 Angola
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Bouaké)
      • 16/01/2024, 14:00
        Burkina Faso 1
        -
        0 Mauritania
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Bouaké)
      • 20/01/2024, 14:00
        Algeria 2
        -
        2 Burkina Faso
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Bouaké)
      • 20/01/2024, 17:00
        Mauritania 2
        -
        3 Angola
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Bouaké)
      • 23/01/2024, 20:00
        Angola 2
        -
        0 Burkina Faso
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
      • 23/01/2024, 20:00
        Mauritania 1
        -
        0 Algeria
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Bouaké)
    • Kundi E
      Nchi P W L D GD Pts
      Mali 310225
      Afrika Kusini 311124
      Namibia 3111-34
      Tunisia 3012-12
      • 16/01/2024, 17:00
        Tunisia 0
        -
        1 Namibia
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
      • 16/01/2024, 20:00
        Mali 2
        -
        0 Afrika Kusini
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
      • 20/01/2024, 20:00
        Tunisia 1
        -
        1 Mali
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
      • 21/01/2024, 20:00
        Afrika Kusini 4
        -
        0 Namibia
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
      • 24/01/2024, 17:00
        Namibia 0
        -
        0 Mali
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Laurent Pokou)
      • 24/01/2024, 17:00
        Afrika Kusini 0
        -
        0 Tunisia
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
    • Kundi F
      Nchi P W L D GD Pts
      Morocco 320147
      DR Congo 300303
      Zambia 3012-12
      Tanzania 3012-32
      • 17/01/2024, 17:00
        Morocco 3
        -
        0 Tanzania
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Laurent Pokou)
      • 17/01/2024, 20:00
        DR Congo 1
        -
        1 Zambia
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Laurent Pokou)
      • 21/01/2024, 14:00
        Morocco 1
        -
        1 DR Congo
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Laurent Pokou)
      • 21/01/2024, 17:00
        Zambia 1
        -
        1 Tanzania
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Laurent Pokou)
      • 24/01/2024, 20:00
        Tanzania 0
        -
        0 DR Congo
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
      • 24/01/2024, 20:00
        Zambia 0
        -
        1 Morocco
        -
        (Penati)
        (Uwanja wa Laurent Pokou)
Awamu ya Mtoano
  • Hatua ya 16 Bora
    • 27/01/2024, 17:00
      Angola 3
      -
      0 Namibia
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Bouaké)
    • 27/01/2024, 20:00
      Nigeria 2
      -
      0 Cameroon
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
    • 28/01/2024, 17:00
      Equatorial Guinea 0
      -
      1 Guinea
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
    • 28/01/2024, 20:00
      Misri 1
      -
      1 DR Congo
      7
      -
      8
      (Penati)
      (Uwanja wa Laurent Pokou)
    • 29/01/2024, 17:00
      Cape Verde 1
      -
      0 Mauritania
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
    • 29/01/2024, 20:00
      Senegal 1
      -
      1 Ivory Coast
      4
      -
      5
      (Penati)
      (Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
    • 30/01/2024, 17:00
      Mali 2
      -
      1 Burkina Faso
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly)
    • 30/01/2024, 20:00
      Morocco 0
      -
      2 Afrika Kusini
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Laurent Pokou)
  • Robo- Fainali
    • 02/02/2024, 17:00
      Nigeria 1
      -
      0 Angola
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
    • 02/02/2024, 20:00
      DR Congo 3
      -
      1 Guinea
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
    • 03/02/2024, 17:00
      Mali 1
      -
      2 Ivory Coast
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Bouaké)
    • 03/02/2024, 20:00
      Cape Verde 0
      -
      0 Afrika Kusini
      1
      -
      2
      (Penati)
      (Uwanja wa Charles Konan Banny de Yamoussoukro)
  • Nusu- Fainali
    • 07/02/2024, 17:00
      Nigeria 1
      -
      1 Afrika Kusini
      4
      -
      2
      (Penati)
      (Uwanja wa Bouaké)
    • 07/02/2024, 20:00
      Ivory Coast 1
      -
      0 DR Congo
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
  • Nafasi ya 3 na ya 4
    • 10/02/2024, 20:00
      Afrika Kusini 0
      -
      0 DR Congo
      6
      -
      5
      (Penati)
      (Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny)
  • Fainali
    • 11/02/2024, 20:00
      Nigeria 1
      -
      2 Ivory Coast
      -
      (Penati)
      (Uwanja wa Olympique Alassane Ouattara)
Nyakati zote ni saa za Ivory Coast na zinaweza kubadilika. BBC haiwajibikii mabadiliko yoyote

DR Congo ilitinga hatua ya mtoano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2023 baada ya kutoka sare tasa na Tanzania mjini Korhogo.

Matokeo hayo yaliwaondoa Waafrika hao wa Mashariki, ambao walihitaji kushinda ili kuendelea.

Pointi moja ilitosha kwa DR Congo kumaliza nafasi ya pili katika Kundi F nyuma ya Morocco, walioongoza jedwali kutokana na ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Zambia.

Zawadi ya Leopards ni hatua ya 16 bora dhidi ya Misri, huku Morocco ikimenyana na Afrika Kusini.

Matokeo ya Kundi F pia yalitosha kuwaona wenyeji wa michuano hiyo Ivory Coast wakipenya hadi katika raundi ya pili kama timu nne bora zilizoshika nafasi ya tatu.

The Elephants - ambao walikuwa wamemfuta kazi bosi Jean-Louis Gasset mapema Jumatano baada ya kumaliza wa tatu katika Kundi A - watamenyana na mabingwa watetezi Senegal katika hatua ya 16 bora Jumatatu.

Leopards walikuwa bora katika mchuano huo

Samahani, mtandao wako hauendani

Katika mechi ngumu ambapo timu zote zilikosa nafasi za wazi, hakuna timu iliofanikiwa kuinggia katika lango la mwengine na kjufunga goli

Wakichochewa na wafuasi wengi wenye sauti na uchangamfu ambao walizidi sauti za wafuasi wa, DR Congo ilitengeneza fursa bora zaidi katika kipindi cha ufunguzi.

Gael Kakuta alipiga mpira wa adhabu uliokamatwa moja kwa moja na kipa wa Taifa Stars, Aishi Manula, ambaye pia alitoka nje kwa kasi na kuzuia shambulio la Fiston Mayele kwenye eneo la hatari.

Pasi nzuri ya Kakuta kwa Yoane Wissa pia iliokolewa na kipa huyo aliposalia na mshambuliaji huyo wa Brentford

Meschack Elia wa DR Congo akijibu hoja wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2023 dhidi ya Tanzania

.

Chanzo cha picha, Getty Imgaes

Maelezo ya picha, Elia Meshack wa DR Congo
Hauhitaji Whatsapp
BBC Swahili sasa kwenye WhatsApp

Pata habari za kina kutoka BBC News Swahili, moja kwa moja kupitia WhatsApp.

Bonyeza hapa kujiunga

Mwisho wa Whatsapp

Nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta alijitahidi sana katika timu yake akilizunguka eneo la hatari na kupiga shuti kali kutoka pembeni.

Nafasi zilikuwa nyingi zaidi katika kipindi cha pili hadi Wissa alipotengeneza nafasi mbili hatari katika kipindi cha mwisho cha mchezo.

Kwanza, Manula aliokoa shambulio zuri kutoka kwa mchezaji huyo wa Brentford baada ya kujinyoosha ili kupangua mpira uliotarajiwa kuchezesha wavu.

Lakini ukweli, ukungu mwepesi uliposhuka kwenye Uwanja wa Amadou Gon Coulibaly, hakuna upande ulioonekana kama kutafuta njia ya kupata bao.

Matokeo hayo yanamaanisha Tanzania iliandikisha sare tasa kwa mara ya kwanza katika Kombe la Mataifa ya Afrika, na kwamba bado hawajashinda katika mechi tisa za michuano hiyo, wakimaliza mkiani mwa kundi lao kwa mara nyingine.

Washindi mara mbili DR Congo wametinga hatua ya mtoano kwa mara ya tano katika mechi sita zilizopita kwenye fainali na watafurahia nafasi yao ya kushinda timu ya Misri itakayomkosa Mohamed Salah wakati timu hizo mbili zitakapokutana San Pedro Jumapili (20:00). GMT).