Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Waokoaji wampa mtoto maji kwa kifuniko cha chupa akiwa chini ya kifusi
Waokoaji wampa mtoto maji kwa kifuniko cha chupa akiwa chini ya kifusi
Vikosi vya uokoaji vilimpa maji mtoto wa Syria anayeitwa Mohummad akiwa amenaswa chini ya vifusi huko Hatay.
Walimpa maji ya kunywa kutoka kwenye kifuniko cha chupa kabla ya kumtoa kwenye vifusi, karibu saa 45 baada ya tetemeko kubwa la ardhi.